Malengo Makuu ya Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki


  1. Ukusanyaji wa Mapato unaongezeka na Usimamizi wa matumizi ya Mapato unaboreshwa hadi kufikia mwaka 2025
  2. Wadau wa Maonesho wanatambua, kuandaa na kutekeleza mbinu za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika Sekta zao hadi kufikia mwaka 2025
  3. Miundombinu ya uwanja wa Nanenane Kanda ya Mashariki inaboreshwa hadi kufikia mwaka 2025
  4. Uwanja Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki unakuwa na mazingira safi na ya kiafya
  5. Usalama wa Mali na Miundombinu ya Uwanja unaimarishwa
  6. Uwanja wa Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki unakuwa Sehemu ya burudani ndani ya Manispaa ya Morogoro
  7. Utendaji kazi wa Ofisi ya Maonesho ya  Nane Nane Kanda ya Mashariki unaimarishwa
  8. Usimamizi na Ufuatiliaji wa shughuli za Nane Nane unaimarishwa
  9. Washiriki wa Maonesho ya Nane Nane  Kanda ya Mashariki wanapewa Motisha ya ushiriki